Breaking News

Saturday, October 4, 2014

By on 6:08 AM

Alarm over deforestation



Morogoro. More than 200, 000 hectares of forests are cleared annually for charcoal production, The Citizen has learnt.
This is so because over 90 per cent of Tanzanians use charcoal as a major domestic energy source.
The concern was raised by Rural Energy Agency (Rea) consultant Shima Sago, when closing a training on alternative charcoal production.
The alternative charcoal is made from remains of plants such as shells of coconuts, corn, rice husks and wood waste.
The consultant told The Citizen that the training was provided to a group of 18 people from Kiswila Village, Matombo Division in Morogoro District.
He said the training was aimed at equipping participants with skills of producing alternative charcoal for their households use as well as for selling to other community members.
Mr Sago said apart from helping to conserve the environment, engaging in producing alternative charcoal would ensure appropriate utilisation of plant remains that are used as raw materials for domestic energy.
He also said the charcoal would boost the economies of most households as the alternative domestic energy source is more efficient than the traditional wood charcoal.
“Households will now be capable of using a very small amount of charcoal given its efficiency,” he said.
For her part, Morogoro Municipal community development officer, Ms Monica Lindi, expressed her optimism, saying the environmentally friendly technology would raise the income of most communities.
She advised the training participants to teach others who did not get the opportunity to attend.
“You should act as ambassadors by passing the skills you have gained to other community members, particularly women who are in most cases responsible for searching for household energy sources,” she told the participants.

Selous anti-poaching drive pays off

By on 6:06 AM


Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu. PHOTO|FILE 
By Bernard Lugongo,The Citizen Reporter


Dar es Salaam. Minister for Natural Resources and Tourism Lazaro Nyalandu has announced success in fighting poaching as the country has recorded zero elephant killing in the Selous Game Reserve in the past three months. 
Mr Nyalandu, who spoke at the climax of the Swahili Tourism Expo in Dar es Salaam on Thursday evening, commended game rangers and other stakeholders who have given their lives to protect the wild animals in the area.
In June, the World Heritage Committee meeting held in Doha (Qatar) inscribed the Selous Game Reserve on the List of World Heritages in Danger because widespread poaching was decimating wildlife populations in the reserve.
“We will not get tired, the battle is not won yet,” he said as participants clapped and cheered.
Statistics show that poachers are killing the elephants for their ivory at alarming rates that the population could be completely wiped out in just six years.
Tanzania’s Elephant Protection Society said that about 30 elephants are killed daily, and at this rate the population will be exterminated by 2020. 
At the Selous Game Reserve, rampant poaching has caused a dramatic decline in wildlife populations, especially elephants and rhino, whose numbers have dropped by almost 90 per cent since 1982, when the game reserve was inscribed on the World Heritage List.
Covering 50,000 square kilometres, the Selous Game Reserve is one of the largest protected areas in Africa.
Mr Nyalandu said that he was looking forward to seeing the tourism industry stabilize by increasing the number of wild animals and tourists coming to Tanzania, to make the sector sustainable.
He assured tourist companies of not introducing new fees in the sector without properly consulting them on the matter.

Sunday, August 31, 2014

Pombe Sio Chai Jamaa Bia Mbili Tu Kaanza Kuvua Nguo na Kuweka Mapozi ya Kimisi Watu Wampige Picha

By on 5:00 AM


Pombe usipoweza kuicontrol basi matokeo yake ita Control wewe ! Huyu Jamaa Alinawa na Kamera za Udaku Specially Katika Baa Moja Maarufu Mitaa ya Sinza , Inasemekana Alikuwa na Wenzake wanakunywa Baada ya Kupata Bia Mbili tu zikampanda Kichwani na Kuanza kuweka Mapozi ya Ajabu Ajabu na Mwisho Kuvua nguo na kuweka Mapozi ya Kimiss Watu Wampige Picha, Wenzake kuona Hivyo Wakamkimbia na Kumwacha Mchizi akiabika Kiaina..

Friday, August 29, 2014

Ajinyonga shambani na kuacha ujumbe; “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”

By on 10:14 PM

Mtu mmoja ambaye hakujulikana jina, amekutwa akiwa amejinyonga ndani ya kibanda shambani huku akiwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe “Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kibiki, Ally Hussein alisema kijana huyo mwanamume amekutwa saa mbili usiku akiwa amefariki na hivyo kutoa taarifa katika Kituo cha Polisi Chalinze.
Alisema askari walifika na kuukuta mwili wa marehemu ukiwa umefungwa kamba ya katani na alipopekuliwa alikutwa mfukoni na karatasi yenye maandishi hayo.
Kaimu Kamanda wa Polisi Pwani, Mrakibu msaidizi, Athumani Mwambalaswa amethibitisha tukio hilo na kusema mwili wa marehemu ulichukuliwa na kuifadhiwa Kituo cha Afya Chalinze kusubiri uchunguzi wa daktari.
shambani
Hata hivyo, alisema bado haijafahamika mtu huyo ni mwenyeji wa kijiji kipi kwani hapo Kibiki hakuweza kutambulika na jitihada za kutafuta ndugu zake katika vijiji vya jirani zinafanyika. Chanzo cha kujinyonga bado hakijajulikana

Sitta Awajibu Wanaofananisha Tume Ya Warioba na Bunge la Katiba

By on 10:08 PM

 Baada ya watu na taasisi kadhaa kudai kitendo cha Bunge Maalumu la Katiba kupokea maoni ya wananchi na kuyaongeza kwenye rasimu ya Katiba mpya, ni kuingilia kazi ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samwel Sitta, alisema bunge hilo lina mamlaka makubwa kuliko tume hiyo.
 
Amesema hata wajumbe wa bunge hilo wanaoendelea kupitia rasimu hiyo, siyo mazuzu, wana akili zao, wasomi na wapo watu wengi wanaotambua kazi hiyo na kuipongeza. 
 
Sitta alivunja ukimya huo na kutoa ufafanuzi jana mbele ya
waandishi wa habari kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, na kuongeza kuwa wananchi wameona rasimu ya Katiba mpya, ina upungufu.
 
“Mimi naelewa kuna watu wanakasirishwa sana na kazi tunayoendelea kuifanya, ni haki yao kukasirika lakini kinachofanywa ni wananchi ambao hatukuwaalika, wanakuja kwa makundi kuelezea wanachoona kuwa ni upungufu ndani ya rasimu, sasa haya watayapeleka wapi? 
 
“Hii hali ya kuonekana sisi Bunge na Tume tupo hadhi moja si kweli, Tume ina mamlaka yake lakini Bunge lina mamlaka makubwa zaidi ya Tume… waliotunga sheria waliona ipo kazi inayofanyika pamoja na kufanya marekebisho ndio maana wanachotoa wao ni rasimu sisi tutakachotoa inaitwa Katiba inayopendekezwa.”
Alisema dhana kwamba lolote likifanywa kwenye rasimu ni usaliti kwa nchi au inachakachuliwa, msingi wake ni ghadhabu za mtu na uamuzi tu wa kuwaona waliopo Dodoma ni mazuzu.
 
“Hapa kuna watu wasomi wazuri tu wenye akili zao. Kusema tunafanya kazi ya Tume ni upotoshaji mwingine wa watu wasiotakia mema Bunge Maalumu la Katiba. Sijui kwa nini rasimu inapewa hadhi kama msahafu, wakati imeandikwa na binadamu tu ina upungufu mkubwa. 
sitta
 
“Mtaona kuanzia Septemba 2 mijadala ya hoja itakavyokuwa.
Wananchi wao wameona Tume haikuwatendea haki maoni yao waliyoyatoa, na waliona mahali pa kwenda kwenye chombo cha juu zaidi nacho ni Bunge Maalumu la Katiba, tuna wajibu wa kuwapokea kwani tupo kwenye kazi ya kutunga Katiba”. 
 
Alisema kazi inayofanyika, ni kutoa Katiba rafiki kwa wananchi na kutoa mfano wa wasanii, ambao waliona pamoja na kutoa maoni kwa maandishi, hayakuzingatiwa na Tume lakini Bunge kwa vigezo vyake, limeona inastahili.
 
“Wamekuja wakitaka kwenye rasimu kuwekwe kipengele cha mali isiyoshikika, yaani haki miliki bunifu nasi tumeona inastahili, lakini Tume waliiacha nasi tumeongezea kwenye sehemu rasimu iliyoweka mali tu,” alisema. 
 
Miongoni mwa vipengele vilivyoongezwa kwenye rasimu hiyo, ni masuala ya Serikali za Mitaa, yaliyotokana na andiko la aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ambayo yalipangwa kuwepo kwenye Katiba ya Serikali ya Tanganyika, ambayo ni ardhi, mazingira, rasilimali za Taifa na haki za watumiaji wa bidhaa. 
 
Kwa upande wa Mwenyekiti wa Kamati Namba Moja, Ummy Mwalimu, alisema Kamati yake imeshapitisha sura zote kwa kupata theluthi mbili kila upande, lakini suala la akaunti ya pamoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar, hawakufanya uamuzi. 
 
Alisema wajumbe wa kamati hiyo, walitaka suala hilo liwekwe kiporo hadi baada ya kukamilika kwa semina ya wataalamu wa masuala ya fedha, waliokuwa wakiwapa jana kuhusu mgawanyo huo wa fedha. 
 
“Tunataka tujue kwa sasa hali ikoje, changamoto zake na wapi kwenye kero. Kwenye suala hili wajumbe walibishana sana na waliweka pembeni itikadi za vyama vyao vya siasa,” alisema. 
 
Naye Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 11, Hamad Masauni Yusuf, alisema Kamati yake imeshapiga kura kwenye sura zote na changamoto kubwa waliyokumbana nayo, ni suala la fedha za pamoja. 
 
“Leo (jana) tunategemea kupata elimu kutoka kwa wataalamu wa fedha na tukiona kuna mambo muhimu, itatubidi tuitishe kikao cha dharura kufanya marekebisho. Lengo ni pamoja na masuala ya fedha. Pia Muungano uimarishwe na kusiwe na mambo ya kuutatiza na pande zote mbili zifaidike,” alisema. 
 
Mwenyekiti Kamati Namba Nne, Christopher ole Sendeka, ambaye hakuwepo kwa muda mrefu kuhudhuria kamati kutokana na kuuguliwa na watu wa familia yake, alisema kutokuwepo kwake hakupaswi kuonekana kuwa anaunga mkono Ukawa. 
 
Alisema kwenye kamati yake kulikuwa na mjadala mkali na watu walikuwa wakali lakini mwishowe walielewana vizuri. 
 
Alitaja maeneo yaliyosababisha wajumbe kuwa wakali kuwa ni ardhi, uraia pacha, masuala ya wakulima na wafugaji na muundo wa Bunge. 
 
Mwenyekiti wa Kamati Namba Tatu, Dk Francis Michael, alisema kwenye Kamati yake walipingana sana na kuvutana na kufanikiwa kupata makubaliano mazuri na kila sura kupata theluthi mbili kwenye sura zote.

SMS za Usagaji za Aunt Lulu Zanaswa…Zilikuwa zinaenda kwa binti wa kidato cha pili

By on 9:50 PM
Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara  ambaye ni denti wa kidato cha pili.

MSIKIE MAMA MWENYEWE

Akizungumza kwa hasira, Mama Zahara aliwaka: “Mimi nina mtoto huyu tu wa kike, anasoma boarding huko Tanga lakini hivi karibuni alirejea akidai wamepewa likizo ya wiki moja.
 
“Tangu huyu mtoto amekwenda boarding, nimebaini amebadilika sana, amekuwa na vijitabia ambavyo sivielewi hivyo nikawa namchunguza sana.
 
“Leo (Jumanne wiki hii) wakati niko jikoni nikasikia anaongea na mtu akiwa chumbani kwake, mazungumzo yale yalinitia shaka kwani kuna muda nikamsikia ‘akimkisi’ aliyekuwa anazungumza naye.
Msanii wa filamu za Kibongo Lulu Mathias.
Msanii wa filamu za Kibongo Lulu Mathias.
“Nilihisi kitu f’lani lakini nikasema nitamvizia nichukue simu yake nikiamini kama kuna kinachoendelea nitagundua, na kweli, alipotoka kwenda bafuni nikaichukua simu yake na kukutana na mambo ya ajabu.
 
“Nilinasa hizi sms ambazo zilinionesha waziwazi kwamba mwanangu anafanya vitendo vya kisagaji. Niliumia sana hasa ukichukulia kwamba nina binti huyo tu.

“Nilipoichukua ile namba, nikataka kujua kama kweli alikuwa anachati na msichana mwenzake au mwanaume, ikabidi nifanye kama nataka kumtumia pesa kwenye simu yake na hapo ndipo likaja jina la Lulu Semagongo.
 
“Nilishtuka kwani namjua huyu msanii tangu alipokuwa mtangazaji. Nilipompigia akanijibu kwa kifupi tu kwamba nimlee vizuri mwanangu na yeye hawezi kumfanyia vitendo hivyo, nikaona bora nije kwenu mtanisaidia.”

MESEJI ZENYEWE ZIKOJE?

Zahara: Natamani kufanya kale kamchezo, unaweza kunisaidia?
Anti Lulu: Nitumie pesa!
Zahara: Kiasi gani cha pesa? Pesa siyo tatizo, umenielewa lakini? Nataka tu…(kitendo kichafu).
 
Anti Lulu: Nitumie hiyohiyo, kwa muda huu nitumie 30,000.
Zahara: Sawa halafu tunaonana vipi?
 
Anti Lulu: Nitumie pesa muda huu, Jumamosi.
Zahara: Mbona mbali sana mpenzi, leo haiwezekani au hata kesho, pesa siyo tatizo.
 
Anti Lulu: Nitumie pesa basi.
Zahara: Subiri kidogo baby, simu yenye pesa iko kwenye chaji, usijali, nashukuru kwa kunionea huruma.
Anti Lulu: (kimya).

KESHO YAKE

Anti Lulu: Umeona ishu kunidanganya siyo?
Zahara: Siwezi kukudanganya mpenzi, ndiyo naamka nitakutumia ila usije ukanidanganya maana nina…, hiyo Jumamosi tunaonana wapi?
 
Anti Lulu: Tuta-meet (kukutana) Bondeni Hotel (ipo Magomeni, Dar), basi nitumie hiyo pesa.
Zahara: Nikutumie kwenye namba hii, vipi tutatumia vifaa?
 
Anti Lulu: Nitumie kwenye namba hii.
Zahara: Nijibu basi kama tutatumia vifaa au hivihivi…
 
Anti Lulu: Hakuna haja ya vifaa, mimi natosha…
Zahara: Haya natuma, nitafurahi sana.
 
Baada ya maelezo ya mama huyo kisha kuziona sms hizo, kweli zilionesha Zahara ndiye aliyekuwa akimshawishi Anti Lulu amfanyie kamchezo hako huku msanii huyo naye akionesha kuujua na kutaka apewe kwanza Sh. 30,000, Ijumaa lilimsaka Anti Lulu ili kupata maelezo yake ambapo alikuwa na haya ya kusema:

HUYU HAPA ANTI LULU

“Kusema ukweli huyo binti ndiye aliyekuwa akinisumbua kwa kunitumia sms za kunitaka.
 
“Alionekana kuuzoea na kuupenda sana sana huo mchezo, mimi sijawahi, ni two different things (vitu viwili tofauti).
 
“Inavyoonekana alitaka kunichafua kwani alinilazimisha sana, sijawahi kufanya huo mchezo na wala sifikirii hasa kwa binti kama mimi ambaye naamini wapo wanaume wanaonipenda, niingie kwenye usagaji natafuta nini?

“Huyo binti mwambieni anikome kabisa.”
 
Chanzo: Gazeti la Ijumaa/gpl

Rais Kikwete: Kuinua Maisha ya Watanzania Sio Kumwaga Fedha Mifukoni

By on 9:42 PM

Rais Jakaya Kikwete amesema dhamira ya Serikali ni kuinua maisha ya Watanzania na dhamira hiyo iko pale pale na kwamba wanaofikiri nia hiyo ni kuwajaza wao fedha mifukoni uwezo huo haupo.
 
Rais alitoa kauli hiyo jana katika Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wakati akizindua ujenzi wa barabara ya Mbande  hadi Kongwa, itakayojengwa kwa kiwango cha lami.
 
Alisema dhamira ya Serikali ya kuinua maisha ya Watanzania haina maana kuwa wananchi watapewa fedha za kuweka mifukoni mwao.
 
Alisema dhamira ya kuwaletea wananchi maendeleo itafikiwa kwa kupitia uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo barabara, shule, njia za mawasiliano ili kurahisisha kuweza kufikia malengo yao.
 
“Wengine tunaposema kuinua maisha ya Watanzania wanafikiri ni kumwaga fedha mifukoni mwao uwezo haupo,” alisema.
 
Pia alisema Serikali  imeboresha ukusanyaji wa fedha za ndani ili kuongeza mapato na kuondoa utegemezi katika miradi ya maendeleo.
 
Rais Kikwete alisema makusanyo ya mapato yameongeka kutoka bilioni 170 kwa mwezi hadi bilioni 900 kwa mwezi hivi sasa na ongezeko la fedha hizo linasaidia ujenzi wa barabara za viwango vya lami na hata zile za vijijini.
 
Aidha alisema Serikali inafikiria  kuongeza barabara za lami mbili au tatu za ndani katika wilaya hiyo ya Kongwa.
 
“Tumetimiza ahadi kwenye maeneo mengi  na tunaahidi kuendeleza uwekezaji kwenye barabara, umeme na maji,” alisema.
 
Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli alisema mradi wa barabara kutoka Mbande  hadi Kongwa ni moja ya ahadi katika ilani ya CCM.
kikwete
 
Alisema sehemu ya ujenzi wa barabara hiyo iliyozinduliwa ni kielelezo tosha kuwa serikali imedhamiria kujenga barabara kwa ajili ya kuwaletea wananchi wake maendeleo.
 
“Barabara hii imezinduliwa na Rais ambaye anatoka CCM na mnatakiwa kuhakikisha Rais ajaye anatoka CCM ili aendeleze kazi iliyoanzishwa, haiwezekani barabara hii ije kufunguliwa na Rais wa kutoka chama kingine,” alisema.
 
Alisema barabara nyingi zinajengwa kwa kutumia fedha za ndani kwa asilimia 100 bila kutegemea wafadhili.
 
 “Tanzania ni moja ya nchi zinazojengwa barabara zenye viwango vya ndani kwa kutumia fedha zake za ndani,” alisema.
 
Alisema Serikali itatoa bilioni moja kwa ajli ya kusaidia ujenzi wa barabara za vijijini katika Wilaya ya Kongwa.
 
Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (Tanroads) Mhandisi Patrick Mfugale alisema barabara iliyozinduliwa ni sehemu ya barabara yenye urefu wa kilometa 101.7 ya kutoka Mbande hadi Kibakwe.
 
Alisema ujenzi wa barabara iliyozinduliwa yenye urefu wa kilometa tano asilimia 85 ya kazi yote imekamilika.