Friday, July 11, 2014

WAZIRI WA MAZINGIRA AKANUSHA KUTUMIA FACEBOOK YENYE JINA LAKE‏

By on 1:26 AM

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira, Dkt Binilith Mahenge.
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mazingira Dkt Binilith Mahenge amewataka wananchi kupuuza taarifa zozote zinazotolewa kwa jina lake kupitia mtandao wa facebook kwa kuwa yeye hatumii mtandao huo.
Waziri Mahenge ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Makete mkoani Njombe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mwandishi wetu wilayani hapo na kusema kumekuwa na baadhi ya watu wanaoitumia mitandao hiyo vibaya kwa kufungua akaunti yenye jina lake ilihali yeye hajawahi kujiunga na facebook na hana mpango huo. 
Amesema kwa kuwa yeye ni kiongozi mkubwa wa serikali wapo watu wanaoziamini taarifa mbalimbali zinazotolewa kupitia mtandao huo wakidhani zimetolewa na yeye lakini imekuwa tofauti na kuwataka wananchi kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa zinatolewa na mtu ama watu fulani na si yeye.
 "Ukiangalia pale pana picha yangu kweli, lakini taarifa zingine ni uongo mtupu, kwa mfano tarehe yangu ya kuzaliwa iliyoandikwa hapo sia ya kweli, hii inaashiria wanavyoviweka ni vya uongo" amesema Waziri Mahenge.
 Aidha ametoa rai watu kuitumia vizuri mitandao hiyo kwa kuisaidia jamii huku akiwataka waliofungua akaunti hiyo kuifunga na kuacha kuwapotosha watu kwa kutumia jina lake kwani ni kinyume cha sheria na atakayebainika sheria iko wazi dhidi yake. 
Hivi karibuni kumekuwa na watu fulani kufungua akaunti kwnye mitandao ya kijamii kwa kutumia majina ya viongozi mbalimbali kwa lengo la kuwahadaa watu na kuwapa taarigfa ambazo si sahihi
Habari/Picha Na Edwin Moshi, Makete
                              <<BOYA HAPA ULIKE PAGE KWA HABARI ZAIDI>>

DEREVA: SITOI RUSHWA LABDA UNIUE

By on 12:53 AM

Stori:  Issa Mnally
SEKESEKE la aina yake kati ya dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up na trafiki ambao majina yao hayakujulikana mara moja liliibuka na kuzua maswali mengi kwa mashuhuda huku mambo ya rushwa yakitajwatajwa.
Trafiki akimdhibiti dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up.
Tukio hilo lilizozua maswali mengi liliibuka juzi Jumatano, Bamaga, Mwenge jijini Dar jirani na kituo cha mafuta cha Bamaga.
Katika tukio hilo, dereva huyo na trafiki walikuwa wakikunjana, ambapo dereva alikuwa akilalamika kuonewa (Haikujulikana kivipi) wakati askari huyo wa usalama barabarani akisisitiza kuwa jamaa huyo alivunja sheria.
Gari aina ya 'Land Rover' (break down) lililotumika kuvuta gari la aina ya Toyota Pick up la dereva huyo. 
ILIKUWAJE?
Kikosi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers, kikiwa katika pitapita zake za kusaka matukio na kuhakikisha maadili hayavunjwi ndipo kilipokutana na kisanga hicho cha kushangaza.
Trafiki alisikika akimwambia dereva kuwa amevunja sheria za barabarani huku gari lake likiwa bovu hivyo aliamuru gari hilo kuvutwa hadi kituoni kwa ajili ya ukaguzi lakini dereva huyo alikataa.
...ilikuwa ni vigumu sana kwa dereva huyo kukubali gari lake kukamatwa.
DEREVA
Pamoja na kuelezwa kuwa gari lake lilikuwa na matatizo na mahali alipoegesha hapakuwa sahihi, dereva huyo alipayuka: “Nawajua nyie trafiki, kazi yenu ni kuonea watu sasa mimi sitoi kitu hapa, labda mniue.“Siendi popote, mkiondoa gari nalala mbele yake ili mnigonge nife, mimi nimesema silitoi.”
...dereva akizidi kubisha kwa uamuzi uliochukuliwa na afisa usalama wa barabarani 'trafiki' .
TRAFIKI
Trafiki huyo aliyeonekana kuwa makini na kazi yake, hakuwa na makuu, zaidi alitaka gari livutwe hadi kituoni huko sheria ingefuata mkondo wake baada ya ukaguzi.
Mashuhuda wa tukio hilo, waliliambia Ijumaa kuwa, kilichohitajika ilikuwa ni busara ya masikilizano kuliko kuvutana kwa maneno na afisa wa polisi.
Afisa usalama wa barabarani akisisitiza kulichukua gari la dereva huyo kwa ukaguzi zaidi.
“Sasa kama gari lake anajua ni zima, anabishana nini na polisi? Ikiwa anajiamini kuwa aliegesha sehemu sahihi, hofu yake ni nini? Kama kweli anajua yupo sawa, anatakiwa kukubali kwenda polisi, gari likakaguliwe.
“Wakati mwingine unaweza kuwalaumu tu askari, kumbe ni tabia ya watu kukataa kutii sheria bila shuruti. Sasa anafikiri kwa maneno makali anayotoa kwa huyo askari atamwachia?
Raia wakishuhudia mkasa huo uliotokea katika kituo cha mabasi yaendayo Mwenge cha Bamaga.
“Anasema eti hatoi kitu, kwani kaombwa rushwa pale au anadhani kila trafiki anayemkamata dereva aliyevunja sheria anataka rushwa?” alisikika shuhuda mmoja akihoji kwa jazba.
Hata hivyo, pamoja na mkwara wa jamaa huyo, gari lake lilifanikiwa kuvutwa kuelekea polisi ambapo jamaa huyo alipanda gari lingine kulifuata.

Watandikwa viboko Pemba kwa kwenda sivyo katika Mwezi Mtukufu

By on 12:52 AM




Vijana wakipata joto ya jiwe baada ya kukutwa mchana wa Ramadhaan Machomanne, Chake Pemba wakifanya mambo kinyume na maadili ya mwezi mtukufu. Picha kwa hisani ya Abdi Suleiman, Pemba

Thursday, July 10, 2014

MAUAJI YA WANAWAKE NACHINGWEA YAENDELEA

By on 11:36 PM

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga.
MWILI wa mwanamke mwingine aliyetambulika kwa jina la Zuhura Mtenda mwenye umri wa miaka, 32 umeokotwa leo na kufanya idadi ya wanawake waliouawa mpaka sasa katika Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi kufikia nane.
Wanawake hao nane waliouawa kikatili mpaka sasa wana umri kati ya miaka 18-32.
Chanzo cha mauaji hayo kimedaiwa kuwa ni uhusiano wa kimapenzi.
Katika kuonyesha kuwa wamekerwa na vitendo hivyo, baadhi ya wananchi wilayani humo, leo wamezingira Kituo Kikuu cha Polisi Nachingwea, kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa nne wakitaka polisi kuwaruhusu kuwawaue watuhumiwa watatu wanaoshikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo ambapo polisi walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, Renatha Mzinga, amesema wananchi hao wenye hasira walikuwa wamezunguka kituo hicho cha polisi wakitaka kuwaua watuhumiwa watatu wanaoshukiwa kuwa ndio wahusika wa baadhi ya mauaji ya wanawake hao.
(VIDEO:)

ALIYEMNG’ATA HAUSIGELI NA KUMCHOMA PASI AACHIWA KWA DHAMANA

By on 8:46 PM

Amina Said Maige (mwenye miwani) akisubiria kupandishwa kizimbani.Amina akiwa chini ya ulinzi akisubiri kupanda kizimbani....akijiziba kwa aibu kabla ya kupanda kizimbani.Wanaharakati wakiwa nje ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakifuatilia kesi hiyo.Wanaharakati wakisubiri kwa hamu kusomwa kwa kesi ya Amina dhidi ya hausigeli wake, Yusta.
YULE mwanamke anayejulikana kwa jina la Amina Said Maige ambaye anakesi ya kumng’ata na kumchoma kwa pasi hausigeli wake, Yusta  Kashinda (20), ameachiwa kwa dhamana.
Amina alisomewa mashtaka na Wakili wa Serikali, Mohamed Salum mbele ya Hakimu Mkazi, Yohana Yongolo.
Mahakama imemuachi kwa dhamana baada ya masharti yake ya kuwapata waajiriwa wawili pamoja na kiasi cha shilingi milioni tatu kila mmoja kukamilika.
Amina alikamatwa Juni 4 mwaka huu na kufikishwa Kituo cha Polisi Oysterbay kwa kupatikana na kosa la Kumng’ata, kumchoma kwa pasi na kumpiga mwili mzima, Yusta. Kesi yake ipo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar ambapo mara ya kwanza alisomewa mashtaka Juni 12 na kesi kuhairishwa mpaka Juni 26 pamoja na Julai 10.
Kesi yake itasomwa tena Julai 22 mwaka huu.
(PICHA / HABARI: DEOGRATIUS MONGELA / GPL)

APPLY NAFASI MPYA NYINGINE HIZI ZA AJIRA SERIKALINI. APPLY FASTA...

By on 6:36 AM




SENIOR SALES ADMINISTRATION OFFICERS (1 POST) (REF.NO.SSAO/01)
COMPANY: NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)
POSITION DESCRIPTION:
National Housing Corporation (NHC) is inviting applications from suitably ~ qualified candidates to fill various positions in its Directorate of Business 1 Development.
Senior Sales Administration Officers (1 Post) (Ref.No.SSAO/01)


The Senior Sales Administration Officer (SSAO) reports to the Sales Manager and has overall responsibilities Sales reporting, Monitoring and Evaluation, Sales process Compliance and facilitation and enforcement of compliance on the Customers handling and Sales processes of customer documents at the Central Control Centre (NHC's Head office). This includes monitoring Service Level Agreements (SLA) with other functions and supporting Directorate of Business Development in the strategic Customers Satisfaction Compliance.

Specific Duties and responsibilities:
Administration of all customer sales related inquiries thereafter channeled them through all NHC's means of customer's feedback such as Call Centre Agents, Suggestion boxes, Walk in Customers and any others.
Work closely with a wide range of (Internal and External) stakeholders and partners to ensure the customer promise are fulfilled through Service Level Agreement (SLA) with in Directorates and Customers Service Charter is adhered to; hence ensure seamless service
Responsible for documentations related to Sales transaction, ensure all customers have complied to the requirements, and all document are kept in the rightful manners; These documents are such as application forms, transfer documents and other property documents.
Ensure Seamless Management information System of Customer information Database and documentation; hence ensure the periodic reports such as weekly, Monthly or Quarterly are generated timely without failure.
Implement Management Information System (MIS) that will enable continuous tracking of the overall business performance, monitoring of customer satisfaction, and provision of management reports. Further to that, prepare and upkeep a waiting list registers and advises on the method of selling houses.
Act as interface between NHC's Internal processes and other key stakeholders such as Mortgage loans originators, Agents, Banks and Customers that includes facilitate loan processes, reconciliation and tracking of payments, legal and regulatory compliance,
Work with research unit and thereafter integrate the Market information as part of the business growth opportunity.
Ensure that house buyers' pays timely and take appropriate action for the defaulters of the same in collaboration with Sales Team.
Use the available data to undertake all Carry out risk assessment, including monitoring of advances from individuals and groups, strictly adherence to the provisions of the company policies to ensure minimal losses to NHC.
Monitor and manage the performance and development of direct reports and agents. This includes annual performance appraisals as well as reviewing all appraisals for the area.
Constant contacts with 3rd party sales partners to ensure support to all stakeholders are adequate and served prompt.
Performs such other related duties as may be assigned by Director of Business Development from time to time.

Qualifications and Experience:
Experience will include overall Sales Administration I Credit Control and recovery I and lor Administration of the Key Account Management experience with at least 5 years of experience preferably gained in the real estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods [FMCG) sectors;
Bachelor's Degree in Business, Economics and Statistics or Equivalent complimented with relevant professional experiences arid certifications. Candidates with all the appropriate core skills and demeanor with the career portability from another industry sector will be considered;
Experienced sales professional with a track record of success in Key Account Management and overall business development with experience preferably gained in thereal estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods [FMCG] sectors;
Ability to quickly forge relationships with internal and extemal stakeholders, as well as develop a high level of trust;
Strong affinity to a 'Business Development environment as it is important to create meaningful "value added services' for key accounts and customers;
Proven track record in working within a complex sales environment and be involved in the key decision making process related to key account management;
Strong sense of independence and ability to work autonomously with very little supervision. A 'self-starter" personality is an obvious must with account management and relationship management capabilities and drive.

APPLICATION INSTRUCTIONS:
REMUNERATION: Very attractive REMUNERATION package is offered as per NHC scheme of service.
If you think you meet job requirement, please apply in strictly confidence indicating post you are applying to the undersigned enclosing an application letter, photocopies of relevant certified certificates, and names of two referees to the address below, and it must reach the undersigned before 22 July, 2014.

DIRECTOR GENERAL
NATIONAL HOUSING CORPORATION, PO.BOX 2977,
DAR ES SALAAM
NB: Only shortlisted candidates will be informed.
======================



SENIOR SALES OFFICER (3 POSTS) (REF.NO. SSO/02)
COMPANY: NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)
POSITION DESCRIPTION:National Housing Corporation (NHC) is inviting applications from suitably ~ qualified candidates to fill various positions in its Directorate of Business 1 Development.
Senior Sales Officer (3 Posts) (Ref.No. SSO/02)
The Senior Sales Officer (SSO) reports to the Sales Manager and has an overall 1 J responsibility for executing all sales strategies of NHC's products and services.
This includes sales of Commercial and Residential properties to the Groups
Institutions or I and to individuals Countrywide while actively ensuring the engagement of all stakeholders of NHC is attained to facilitate seamless sales culture among all members of organization.

Specific Duties and responsibilities:
Execute, manage and drive Sales of NHC's product and Services to the target income group while taking into account the growth potentials, competitor activity and existing customer base. This includes review of existing products and recommend of optionalproducts and services.
Deepen the current NHC's housing Schemes while enhancing Key Account Relationships Management Sales, this will includes Sales of ~I Housing schemes and Commercial spaces to the various incomes
Group/institutions and individuals Countrywide.
Timely advising the Management on all sales business trends that a have impact on the corporation's threats and opportunities. q Execute sales campaign and promotion initiatives to ensure timely II communication of benefits to the respective customers. Accountable for Portfolio Sales planning, management, budgeting, cost control, field force deployment and monitoring, and customer service.
Ensure that house buyers' pays in timely and take appropriate action g for the defaulters of the same in collaboration with Sales Administration ~ Team.
Management of dedicated portfolio aspects of risk, including Pi monitoring of advances from individuals and groups, strictly adherence to the provisions of the company policies to ensure minimal losses to NHC.
Work closely with all members of staff with in the Corporation to ensure to ensure that customers have a seamless service experience through all NHC delivery channels.
Monitor and manage line performance and development of subordinates and agents. This includes annual performance appraisals as well as reviewing all appraisals for the area.


Implement Management Information System (MIS) that will enable continuous tracking of the portfolio's performance, monitoring of customer satisfaction, and provision of management reports. Further to that, prepare and upkeep a waiting list registers and advises on the method of selling houses.
Develop and manage internal Sales product communication systems to ensure the entire NHC staffs are appropriately informed of the NHC's products and services. This activity forms parts of ensuring that the NHC continuously enhances the culture of seamless customer service through common understanding of its products and services.
To recommend the platforms for formulation of the products (INNOVATION) and initiate the development, thus continuously upgrade and innovate products to be perceived as 'value add" to NHC and to customers.
Constant contacts with 3rd party sales partners to ensure support to all stakeholders are adequate and. served prompt.
Performs such other related duties as may be assigned by Director of Business Development from time to time.

Qualifications and Experience:
Experience will include overall Business Development and / or Account Management experience with 5 years of experience preferably gained in the real estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods [FMCG1 sectors;
Bachelor's Degree in Business, Economics and Statistics or Equivalent complimented with relevant professional experiences and certifications. Candidates with all the appropriate core skills and demeanor with the career portability from another industry sector will be considered;
Experienced sales professional with a track record of success in Key Account Management and overall business development with experience preferably gained in the real estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods [FMCGJ sectors; Ability to quickly forge relationships with internal and external stakeholders, as well as develop a high level of trust;
Strong affinity to a Business Development environment as it is important to create meaningful 'value added services' for key accounts and customers;
Proven track record in working within a complex sales environment and be involved in 1he key decision making process related to key account management;
Strong sense of independence and ability to work autonomously with very little supervision. A "self-starter" personality is an obvious must with account management and relationship management capabilities and drive.


APPLICATION INSTRUCTIONS:
REMUNERATION: Very attractive REMUNERATION package is offered as per NHC scheme of service.
If you think you meet job requirement, please apply in strictly confidence indicating post you are applying to the undersigned enclosing an application letter, photocopies of relevant certified certificates, and names of two referees to the address below, and it must reach the undersigned before 22 July, 2014.

DIRECTOR GENERAL
NATIONAL HOUSING CORPORATION, PO.BOX 2977,
DAR ES SALAAM
NB: Only shortlisted candidates will be informed.
=====================


SALES MANAGER, AFFORDABLE HOUSING (1 POST) (REF.NO.SM/01)
COMPANY: NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)
POSITION DESCRIPTION:National Housing Corporation (NHC) is inviting applications from suitably ~ qualified candidates to fill various positions in its Directorate of Business 1 Development.

Sales Manager, Affordable Housing (1 Post) (Ref.No.Sm/01)
The Sales Manager - Affordable Housing reports to the Director of Business Development and has overall responsibilities for developing and drives mainly Sales strategies of affordable housing products and services offered by NHC. This will includes Sales of affordable housing schemes to the Group 1 institutions and individuals Countrywide, aiming at actively ensuring the engagement process of all stakeholders of NHC is attained while facilitating seamless sales culture among the various stakeholders within the Corporation.

Specific Duties and responsibilities:
Develop, manage and drive Sales Strategies for the NHC Affordable Housing Schemes taking into account the growth potentials competitors activity and existing customer base. This includes review of existing products and introduction of new products and services.
Deepen the current NHC's affordable housing products schemes while enhancing Key Account Relationships Management Sales. this will includes Sales of affordable housing schemes to the Group I institutions and individuals Countrywide. *
Emphasizes on Cross selling to customers the NHC's range of products and Services to realize new income streams, increased use of products and create dependency.
Timely advising the Management on all sales business trends that have impact on the corporation's threats and opportunities.
Drives sales campaign and promotion initiatives to ensure timely communication of benefits to the respective customers. Accountable for planning. managing. budgeting. cost controlling, field force deployment and monitoring and customer services. Ensure that house buyers' pays in timely and take appropriate action for the defaulters of the same.
Manage all aspects of risk. including monitoring of advances portfolio, strictly adherence to the provisions of the company policies to ensure minimal losses to NHC.
Work closely with Regional Offices' to ensure that customers have a seamless service experience through all NHC delivery channels. Monitor and manage the performance and development of subordinates. This includes annual performance appraisals as well as reviewing all appraisals for the area.
Develop and maintain an open communication channel with subordinates and other team members to foster teamwork and facilitate the change process.
Put in place a Management Information System (MIS) that will enable continuous tracking of the division's performance, monitoring of customer satisfaction. and provision of management reports. Further to that. prepare and upkeep a waiting list registers and advises on the method of selling houses.
Develop and manage internal Sales product communication systems to ensure the entire NHC staffs are appropriately informed of the NHC's products and services. This activity forms parts of ensuring that the NHC continuously enhances the culture of seamless customer service through common understanding of its products and services.
To recommend the platforms for formulation of the products (INNOVATION) and initiate the development, thus continuously upgrade and innovate products to be perceived as "value add" to NHC and to customers.
Constant contacts with third party sales partners to ensure support to all stakeholders are adequate and served prompt.

Qualifications and Experience
Experience will include overall Business Development and/or Account Management experience with 10 years of experience preferably gained in the real estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods [FMCG] sectors;
Bachelor's Degree in Business, Economics and Statistics or Equivalent complimented with relevant professional experiences and certifications. Candidates with all the appropriate core skills and demeanor with the career portability from another industry sector will be considered;
Experienced sales professional with a track record of success in Key Account Management, ability to mobilize different group within the social fabric such as Local Government (LGA), Government, Non Government Organization, and overall business development with experience preferably gained in the real estate, Finance Services Industry and/or Fast Moving Consumer Goods IFMCG] sectors; Ability to quickly forge relationships with internal and external stakeholders, as well as develop a high level of trust;
Strong affinity to a Business Development environment as it is important to create meaningful "value added services" for key accounts and customers;
Proven track record in working within a complex sales environment and be involved in the key decision making process related to key account management;
Strong sense of independence and ability to work autonomously with very little supervision. A 'self-starter" personality is an obvious must with account management and relationship management capabilities and drive.


APPLICATION INSTRUCTIONS:
REMUNERATION: Very attractive REMUNERATION package is offered as per NHC scheme of service.
If you think you meet job requirement, please apply in strictly confidence indicating post you are applying to the undersigned enclosing an application letter, photocopies of relevant certified certificates, and names of two referees to the address below, and it must reach the undersigned before 22 July, 2014.

DIRECTOR GENERAL
NATIONAL HOUSING CORPORATION, PO.BOX 2977,
DAR ES SALAAM
NB: Only shortlisted candidates will be informed.
ALSO AVAILABLE IN THE MWANANCHI OF 9 JULY 2014

PATASHIKA NGUO KUCHANIKA! MWANAMKE AVULIWA NGUO BAADA YA KUFUMANIWA NA MUME WA MTU.. JIONEE VIHOJA HIVI

By on 6:30 AM


The photos attached below show a woman mercilessly beating another for sleeping with her husband. The woman then goes on to strip the adulterous woman and embarass her in public. The neighbours who watched on with shock took the pictures seen here and shared it. It is sad that couples have to resort to washing their dirty linen in public and even sadder that the trend of stealing others husbands has not abated. What do you think?

FREEMASON WATOA TAMKO KUHUSU MWISHO WA DUNIA HII..!!

By on 5:13 AM



WAKATI binadamu wakiendelea na mipango yao ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kimazingira, kiulinzi na usalama, utabiri mpya wa kutisha unaonesha kuwa mwaka 2032 ndiyo mwisho wa sayari hii ya tatu katika mfumo wa jua. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali katika mitandao ya internet,
sayari iitwayo Nibiru, ambayo kisayansi inafahamika kama Planet X ipo njiani kuigonga dunia na hivyo kusababisha majanga mbalimbali kutokea. ITAONEKANA ANGANI KAMA MWEZI
Kwa mujibu wa mitandao hiyo ya kisayansi, sayari hiyo ambayo inaisogelea dunia kwa kasi kubwa, itaonekana kubwa na angavu wakati wa usiku angani na kuwa katika umbo la mwezi na hivyo kufanya miezi ionekane miwili. DALILI KWAMBA IPO JIRANI
Taarifa zaidi za kisayansi zinasema kuwa, kadiri sayari hiyo inavyozidi kusogea, dunia itaanza kutikisika na kusababisha matetemeko ya ardhi kuongezeka sehemu mbalimbali. Mbali na dunia kutikisika na matetemeko, milipuko ya volcano nayo itatokea huku idadi kubwa ya milipuko hiyo mipya ikiongezeka, vimbunga vikubwa kama Tsunami vitaibuka na mwishowe dunia itapigwa na bomu la miamba midogo na vimondo kutokea angani. DUNIA ITAKUMBWA NA GIZA NENE
Wakati volcano zote duniani zitakapoanza kulipuka na zingine mpya kujitokeza, dunia itafunikwa na giza nene na matope kwa wakati wote wa usiku na mchana huku watu wakitakiwa kusoma katika Biblia Joel 2: 1-2 na Zephaniah 1:14-17. NI TUKIO LA AINA YAKE KARNE YA 21
Nibiru inatajwa kama kitu kinachoisogelea dunia kinachoaminiwa kusababisha madhara makubwa ambapo kama hakitaigonga dunia, kitasababisha mtikisiko usio wa kawaida kitakapopishana nayo. Baadhi ya wanasayansi wanaamini kuwa kitendo hicho kitatokea mapema katika karne ya 21 (tuliyonayo sasa). WANASAYANSI WAPINGANA
Baadhi ya wanasayansi wanapinga kwa maelezo kwamba hakuna ushahidi wowote wa kitafiti unaoonesha wazi kwa mabingwa wa anga za juu waliobobea wa masuala ya nyota. MWANAMKE ALIWAHI KUOTA NDOTO
Kwa mara ya kwanza jambo hilo lilitokea mwaka 1995, wakati mwanamama Nancy Lieder muasisi wa mtandao wa ZetaTalk, aliwahi kudai kuoteshwa ndoto kwamba, Mei 2003 kuna kitu kitaingilia mfumo wa jua (solar system) na kusababisha dunia kutoboka tundu litakalosambaratisha sehemu kubwa ya kizazi cha binadamu. Lieder aliifafanua kuwa, kitu hicho kitakuwa na ukubwa wa mara nne ya dunia. BAADA YA NDOTO
Baada ya mwanamama Lieder, mtu wa kwanza kuizungumzia Nibiru alikuwa Mark Hazlewood, mwanachama wa zamani wa mtandao wa ZetaTalk ambaye mwaka 2001 alichapisha kitabu kilichoitwa Blindsided na kusema kuwa mwisho wa dunia ungekuwa mwaka 2003 baada ya kuwasili kwa sayari ya kumi (Nibiru). Katika mfumo wa sasa, baadhi ya wanasayansi wanasema sayari ziko 12, wakizitaja kwa namba 1. Jua 2. Mercury 3. Venus 4. Dunia 5. Luna (mwezi) 6. Mars 7. Jupiter 8. Saturn 9. Uranus 10. Neptune 11. Pluto 12. Nibiru. IMANI NYINGINE YASEMA MWISHO WA DUNIA NI FEBRUARI 22, 2014
Hata hivyo, utabiri mpya uliotolewa na watu wa jamii ya Vikings jijini New York, Marekani umesema mwisho wa dunia ni Februari 22, mwaka huu. Mitandao mbalimbali pamoja na gazeti maarufu la Daily Mail la Uingereza lilielezea utabiri huo uliofanywa na jamii hiyo ukidai kuwa mwisho wa dunia utatokana na Mungu Odin kupigana na kuuawa na shetani Wolf Fenrir, hivyo kuiachia dunia anayoishikilia. Wamesema baada ya kuiachia dunia itafurika maji ambayo yatakuwa na sumu, hivyo viumbe wote watateketea. WATUMISHI WA MUNGU TANZANIA
Baadhi ya watumishi wa Mungu nchini wamekuwa wakisimamia andiko la kwenye Biblia linalosema kuwa, hakuna mwanadamu anayeijua siku wala tarehe ya mwisho wa dunia na ni siri ya Muumba. Makanisa mengi nchini Tanzania yana sera tofauti lakini yanaongozwa na Biblia moja. Makanisa hayo ni Romani Katoliki, Lutheran (KKKT), Anglikana na makanisa ya kiroho kama Full Gospel& Bible Fellowship la Zakaria Kakobe. FREEMASON WABARIKI
Jamii ya Freemason tayari imebariki mwisho wa dunia kwamba umefika na dunia inatarajie tukio kubwa la pamoja. Mitandao ya jamii hiyo inataja kama hizi ni nyakati za mavuno kwa maana kwamba, upande wa Mungu na shetani kushindania watu huku waendao upotevuni wakiwa wengi. MFUMO WA DUNIA TANGU KUUMBWA
Kwa mujibu wa kitabu kinachoitwa Panorama ya Biblia, ulimwengu tangu kuumbwa kwake umekuwa na matukio makubwa kila baada ya miaka 2000 (inaweza isitimie au ikapita kidogo). Tangu kuumbwa kwa Adamu na Eva mpaka gharika inadaiwa ni miaka 2000. Gharika hadi dunia kubadili mfumo wa mawasiliano (Mnara wa Babeli) ni miaka 2000. Kuzaliwa kwa Yesu hadi saa ni miaka 2000 ambapo katika karne hii, dunia huenda ikaingia katika tukio kubwa sana ambalo halijawahi kutokea

Mwalimu auwawa kisa shilingi 1,000 ya bili ya umeme

By on 5:12 AM



JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Hombolo Justus Jackson (28) kwa tuhuma ya kumuua mwalimu mwenzie kwa kukataa kulipa sh. 1,000 ya bili ya umeme aliyo takiwa kuchangia marehemu.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Missime amemtaja mwalimu aliyeuwawa kuwa ni Fredy Ndahani (29) mwalimu wa shule ya Hombolo.

Misime amesema walimu hao wote wawili wanalikuwa wakiishi katika nyumba moja na walikuwa wakichangia bili ya umeme katika nyumba hiyo.

Amesema katika mabishano walimu hao waliingia katika ugomvi na hivyo Fredy alisukumwa katika ukuta na kupoteza maisha papo hapo.

Kwa mujibu wa Misime Mtuhumiwa huyo ameshakamatwa na anatarajiwa kufikishwa mahakamani mara baada ya kukamilika kwa upelelezi.
<<KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA ULIKE PAGE>> 

,BINTI AKUTWA AMELALA KWENYE KABATI LA CHIPS JIONEE HAPA

By on 5:00 AM

"Dada akutwa kalala kwenye kabati ya chips maeneo ya Yombo Vituka leo asubuhi. Muuza chips alifunga kabati na kufunga eneo lake labiashara kwa kufuli kisha akaenda kulala. Asubuhi alipofungua ndipo akamkuta mwanadada amelala juu ya chips na mishkaki akiwa hajitambui. Bado haijajulikana aliingiaje maana hakuweza kuongea baada ya kutolewa.!"

HABARI KAMILI KUHUSIANA IRENE UWOYA KUKUTANA NA MKENYA KWENYE HOTELINI

By on 4:58 AM


Latest news zinasema kuwa star wa filamu nchini Irene Uwoya amekutana faragha Nairobi, Kenya na star mwenzake wa muziki toka nchini humo Jaguar.
Chanzo kimoja kilicho karibu na Uwoya kikizungumza nasi kimesema kuwa wawili hao kuna deal wanafikiria kufanya pamoja lakini hana uhakika mpaka sasa ni deal gani "Uwoya na Jaguar wamekutana faragha kuna issue zao wana-talk ila sijui ni deal gani hizo, nitakupa updates" kilisema chanzo hicho.


Hata hivyo chanzo kingine kutoka Kenya kimesema kuwa kimewaona Uwoya na Jaguar katika hotel moja jijini Nairobi wakiwa katika mikao ya kimahaba a.k.a zero distance " Hi, I have seen Irene Uwoya with Jaguar in a hotel in Nairobi they looked like an item, hawa celebs sio predicted" kilisema chanzo hicho
Mwandishi alijaribu kumsaka Uwoya lakini namba yake haikupatikana, hata hivyo juzi Uwoya aliweka picha akiwa Julius Nyerere International Airport akisema anaenda Nairobi ingawa hakuweka wazi kama anaenda kikazi au lah .

MBUNGE ATAKA ARUSHA IWE KANDA MAALUM YA KIPOLISI, KISA MABOMU

By on 4:32 AM


Mbunge wa viti maaluma Arusha Catherine Magege ameiomba serikali kuanzisha kanda maalumu ya kipolisi kwa jiji la Arusha ili kuimarisha ulinzi ambao umekuwa ukizorota siku hadi siku huku maisha wa wakazi wake yakiwa hatarini.

Kufuatia mfululizo wa mabomu baadhi wa kazi wa jiji la Arusha wameiomba serikali kuingilia kati swala hilo kwa kuwa watu wamekuwa na hofu ya kushiriki katika matukio mbalimbali hasa yale ya mikusanyiko ya watu kwa kuhofia milipuko.
 
Hata hivyo Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia watu wawili kuhusiana na mlipuko uliotokea katika Mgahawa wa Vama Traditional Indian Culture uliopo karibu na viwanja vya Gymkhana na Mahakama Kuu Jijini Arusha.

IRENE UWOYA ALIWA URODA NCHINI KENYA


Latest news say that the star of the film has met Irene Uwoya privacy Nairobi, Kenya and another star in the country music from Jaguar. One source that is close to Uwoya Speaking to   said it that the couple is no deal they consider working together but not sure until now is deal would "Uwoya and Jaguar have met privately no issue their sons-talk but do not know how deal do these, I will give updates" said a source the last

However, another source from Kenya has undertaken that did you see Uwoya and Jaguar in a hotel in Nairobi while in session zero distance romantic aka "Hi, I have seen Irene Uwoya with Jaguar in a hotel in Nairobi THEY looked like an item, these celebs are not predicted "said the source

Mhariri has tried pageant Uwoya but his phone was not found, however recently laid Uwoya picture at Julius Nyerere International Airport to Nairobi saying he did not make it clear as though going to work or not! . Tunamsaka Uwoya to afunguke own live
- See more at: http://mdadisihuru.blogspot.com/2014/07/irene-uwoya-aliwa-uroda-nchini-kenya.html#sthash.UvC8nOVF.dpuf

IRENE UWOYA ALIWA URODA NCHINI KENYA


Latest news say that the star of the film has met Irene Uwoya privacy Nairobi, Kenya and another star in the country music from Jaguar. One source that is close to Uwoya Speaking to   said it that the couple is no deal they consider working together but not sure until now is deal would "Uwoya and Jaguar have met privately no issue their sons-talk but do not know how deal do these, I will give updates" said a source the last

However, another source from Kenya has undertaken that did you see Uwoya and Jaguar in a hotel in Nairobi while in session zero distance romantic aka "Hi, I have seen Irene Uwoya with Jaguar in a hotel in Nairobi THEY looked like an item, these celebs are not predicted "said the source

Mhariri has tried pageant Uwoya but his phone was not found, however recently laid Uwoya picture at Julius Nyerere International Airport to Nairobi saying he did not make it clear as though going to work or not! . Tunamsaka Uwoya to afunguke own live
- See more at: http://mdadisihuru.blogspot.com/2014/07/irene-uwoya-aliwa-uroda-nchini-kenya.html#sthash.UvC8nOVF.dpuf

Godzilla: Wasanii wengi wa bongo Flava ni waongo, wanadanganya gharama za video na nyumba walizojenga...

By on 4:26 AM

Rapper wa Salasala, Godzilla amewachana baadhi ya wasanii ambao amesema hudanganya jamii kuwa na maendeleo makubwa yanayotokana na kazi ya muziki kwa kutaja gharama kubwa za video na nyumba wanazojenga.
Godzilla amefunguka wakati akiongea na Bongo Dot Home ya 100.5 Times Fm Jumamosi iliyopita na kuwataka wasanii hao kuacha kudanganya kwa kuwa anafahamu kipato wanachopata wasanii wengi wa Tanzania ukimuweka kando Diamond hakiachani sana.
“Uongo ukiwa mwingi unaharibu sanaa nzima. Mtu anasema ‘sasa hivi nimepiga milioni 50’ kesho unaona anafanya kazi na Adam Juma huyu huyu, hajaenda hata huko wapi.
“Wasanii wengi wa Bongo Flava wengi sana wamekaa kiungo uongo, wanaongeza digit. Unajua mbongo akikwambia kitu sasa hivi unadivide by two. It’s a lie man. Wote tunafanya shows zilezile, pengine hata wasanii wa hip hop wanafanya shows nyingi hata zaidi ya wasanii wa bongo flava.
“Tumchukulie mtu fulani (wa bongo flava) umuweke hata na Joh Makini pale nani anafanya shows nyingi. Joh yuko kwenye mizunguko kila siku. Pengine hata hao akina Fid Q wanapata hela nyingi zaidi. Kuongeza digit na kujizoom..hiyo ndio, na watu wa media mnavyoichukua the whole picture hapo ndio mambo mnayapoteza.”
Godzilla amegusa pia kuhusu gharama za nyumba zinazotajwa na baadhi ya wasanii kuwa zimetokana na matunda ya kazi ya sanaa kuwa sio za kweli.
“Huyu kajenga nyumba ya milioni 150, kwa muziki gani? Endorsement zote tunaziona na tunasikia kabisa amepata bei gani kutoka kwenye ile deal. Watu wanaadd digit na watu wanakubali. Wanaonekana wao kweli wanafanya kazi na wengine hawako serious, it’s a lie.”
Rapper huyo wamewataka wasanii wenzake kuwa wakweli kwa kuwa hauwezi kuwa mkubwa kwa kudanganya na kupost kwenye mitandao ya kijamii taarifa za uongo kuhusu matunda ya maendeleo yako.
“The Only artist amepata hela zake amemake amekuwa successful ameenda mbali ni Diamond peke yake. Na kila mtu anaona kaenda hapa kapiga hapa, wengine wana-double.”
Ameitaka Media kuzifuatilia taarifa za wasanii wa Bongo Fleva kabla ya kuzifanya kuwa habari kubwa na kuwashusha wasanii wa hip hop kuonekana wao hawafanyi video zenye kiwango kikubwa kutokana na kutopata kipato kama wale waimbaji.
Amesema kitu ambacho kitasaidia zaidi muziki wa Tanzania ni kuwa wakweli ili wadau na serikali ione picha halisi ya kinachoendelea kwenye muziki ili kuweza kusaidia kuuinua. Na kwamba njia pekee ni ile aliyoipendekeza rais Kikwete kuwa Makampuni yawaamini wasanii na kufanya nao kazi
                           <<LIKE PAGE HAPA KWA HABARI KILA SIKU>>