Wednesday, July 9, 2014

Mama aliyekiri kuwaua watoto wake watatu waliokuwa na ulemavu.

By on 2:28 AM

totoo1
Mama mmoja nchini Uingereza amekiri kuwauwa watoto wake watatu waliokuwa na ulemavu.
Mama huyo Tania Clarence, mwenye miaka 42, amekiri kuwa na hatia kwa kosa la kuwauwa watoto wake ambao ni mapacha wa kiume wenye umri wa miaka mitatu na wa kike aliyekuwa na umri wa miaka minne kwa misingi ya kukwepa majukumu.
Watoto hao walikutwa ndani ya nyumba yao.
Clarence amekuwa akitibiwa ugonjwa wa akili Kusini mwa London ambapo alishtakiwa April 24 mwaka huu

0 comments:

Post a Comment