Sunday, June 8, 2014

Balaa…Huyu Ndio Kimwana wa miaka 17 anayedai kubakwa na mume wa FLORA MBASHA

By on 1:15 PM

Mume wa muimbaji wa muziki wa injili Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha ameendelea kulikimbia jeshi la polisi kwa tuhuma za kumbaka shemeji yake. Hadi sasa haijulikani alipo. Hata hivyo, picha ya anayedaiwa kuwa ndiye shemeji yake imesambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuzua utata mtupu.
Unahisi Mbasha alishindwa kujizua kutokana na jinsi msichana huyu anavyovutia?
Msichana mwenye miaka 17 anayedaiwa kuwa ndiye aliyebakwa na Emmanuel Mbasha
Msichana mwenye miaka 17 anayedaiwa kuwa ndiye aliyebakwa na Emmanuel Mbasha

MAKALIO YA WEMA SEPETU NI NOUMA YAMDATISHA MC WA MTV MAMA HADI KUFIKIA HATUA YA ******SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI

HII NDIO SENTENSI ALIYOITOA MC WA MTV MAMA INAYOHUSU MAKALIO YA WEMA SEPETU



Kama ilivyo kwa tuzo zozote maarufu duniani, mara nyingi ma’MC wa show hizo huwa wanapenda kumwaga maneno mengi sana ya utani, ila hii ni kali zaidi, bila kujijua mwenyewe wakati akiwa anaendelea kutangaza, alitokea kuwaponda watu maarufu duniani, akiwemo Kim Kardashian ambaye anajulikana kama ni mwanamke mwenye umbo zuri zaidi, “I’ve seen beautiful women here with butts that make kimkardashian‘s look like Miley Cyrus.(“nimekuja hapa nimeona wanawake wenye maumbo mazuri, yanavyomfanya Kim Kardashian aonekane kama Myle Cyrus”) – alitamka wazi wazi MC wa tuzo hizo za MTV MAMA.



Watu wenye maumbo kama Wema Sepetu na wanawake wengi wa huko nchini South Africa achilia mbali wageni waaalikwa kutoka nchi mbali mbali za africa, kwa jinsi walivyo umbika kwa asili ya maumbo yao ya ki-africa, yalimfanya hadi MC ambaye ndiye mchekeshaji muigizaji maarufu huko hollywood maarufu kama Marlon Wayans, ashundwe kujizuia na kutamka maneno kama hayo hadharani.
- See more at: http://utamuclasic.blogspot.com/2014/06/makalio-ya-wema-sepetu-ni-nouma.html#sthash.MFu1eduV.dpuf

0 comments:

Post a Comment